Safari ya Afrika kuelekea uhuru ni simulizi ya ujasiri, kujitolea, na maonoyasiyoyumba. Kuanzia kwenye mapambano ya wazi hadi meza za diplomasia, viongoziwa ukombozi wa Afrika walisimama kidete dhidi ya ukoloni, wakawasha moto wauhuru unaoendelea kuwaka hadi leo.
Safari ya Afrika kuelekea uhuru ni simulizi ya ujasiri, kujitolea, na maonoyasiyoyumba. Kuanzia kwenye mapambano ya wazi hadi meza za diplomasia, viongoziwa ukombozi wa Afrika walisimama kidete dhidi ya ukoloni, wakawasha moto wauhuru unaoendelea kuwaka hadi leo.
Viongozi hawa—wanaume na wanawake wakiwa na msimamo thabiti hawakupiganiamaslahi binafsi. Walitamani heshima kwa watu wao, mshikamano wa mataifa yao, namustakabali unaoongozwa na Waafrika wenyewe. Kutoka hekima ya Mwalimu JuliusKambarage Nyerere katika kuunganisha Tanzania, hadi wito wa Kwame Nkrumah waUmoja wa Afrika, kutoka kilio cha haki cha Patrice Lumumba hadi moyo ya msamahana maridhiano wa Nelson Mandela -urithi wao unaishi.
Katika Tamasha la Kimataifa la Historia la JUKANYE 2026,tunatoa heshima kwa mashujaa hawa. Kupitia simulizi, maonyesho, muziki, Semina nasherehe za kitamaduni, tunakumbuka na kusherehekea kujitoa kwao, tukiwakumbushakizazi cha sasa na kuhamasisha kizazi kijacho moyo wa uzalendo.
Majina yao yavume.
Hadithi zao zitutie moyo
.
Maono yao yaendelezwe.
Orodha ya Wanawake Mashujaa wa Ukombozi wa Afrika
Katika kuenzi mchango mkubwa wa wanawake katika harakati za ukombozi wa Bara la Afrika, tunatarajia kutoa Tuzo za Heshima maalum wakati wa Tamasha la JUKANYE INTERNATIONAL HISTORY FESTIVAL – 2026.
Tuzo hii itatambua na kuthamini juhudi, ujasiri, na urithi wa wanawake waliopigania uhuru na haki za watu wa Afrika katika nyanja mbalimbali za kisiasa, kijamii na kitamaduni.
Tuzo Maalum: TUZO YA MAMA AFRIKA KWA UKOMBOZI NA URITHI
(Mama Afrika Award for Liberation and Legacy)
Tuzo hii ni ishara ya heshima kwa wanawake waliobeba jukumu la kihistoria katika kujenga Afrika huru, yenye utu, mshikamano, na maendeleo endelevu.
Kamati kuu ya tamasha itajumuisha wajumbe kutoka JACI, Catz Company Limited, viongozi wa sekta mbalimbali za serikali, mashirika ya kimataifa, na wataalamu kutoka sekta ya Utamaduni, Nishati, Utalii na Elimu.
CONTACT:
CONTACT:
Uundaji wa Ratiba ya Tamasha (Program Line-up); Kutengeneza ratiba yenye mtiririko mzuri wa matukio kwa kila siku ya tamasha.
Kuweka mpangilio wa matukio ya kuvutia na yenye kusisimua kwa hadhira.
CONTACT:
MAWASILIANO:
S.L.P 38012
Dar Es Salaam, Tanzania
Mob. +255 (0) 673 023 547
Mob. +255 (0) 789 388 232
Kamati kuu ya tamasha itajumuisha wajumbe kutoka JACI, Catz Company Limited, viongozi wa sekta mbalimbali za serikali, mashirika ya kimataifa, na wataalamu kutoka sekta ya Utamaduni, Nishati, Utalii na Elimu.